2 Samuel 6:2

2 aYeye na watu wake wote wakatoka Baala ya Yuda
Baala ya Yuda ni jina la Kiebrania; yaani Kiriath-Yearimu.
kulipandisha Sanduku la Mungu kutoka huko, linaloitwa kwa Jina, naam, jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote, ambaye anaketi katika kiti cha enzi kati ya makerubi walioko juu ya hilo Sanduku.
Copyright information for SwhNEN